Mapema leo tulipata neema ya kutembelewa na Sheikh Walid Alhad - Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar Es salaam, aliyefanya ziara rasmi katika chuo chetu cha dini, Hauzat Bilal Temeke na shule yetu ya Bilal Comprehensive zilizopo Temeke, Dar Es Salaam, wiki iliyopita.
Comments
Post a Comment