SHEIKH WA MKOA WA MOROGORO WA TIC ASHIRIKI KWENYE UFUNGUZI WA MASJID NABAWI

 

Sheikh wa Mkoa wa Morogoro na Naibu Katibu Mkuu wa Elimu na Utamaduni wa Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania-TIC Sheikh Hamza Kipanga (Mwenye Kilemba) akishiriki katika Ufunguzi wa Masjid Nabawi, uliyopo kiegea Morogoro, mnamo tarehe  08/07/2023 Msikiti upo chini ya Usimamizi wa Sheikh Amru Muhammed Salim.








Comments