SHEIKH NASIBU ASHIRIKI SEMINA YA KUPINGA NDOA YA JINSIA MOJA

Sheikh wa Mkoa wa Kigoma wa Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania-TIC Alhaj Nasibu  Rajab (wapili kulia) akishiriki kwenye semina ya viongozi wa dini kuhusu ukatili na hatari ya  ndoa za jinsi moja,   semina iliyo andaliwa na Shirika la IRC chini ya Idara ya Maendeleo Mkoani  Kigoma.
 



Comments