Sheikh wa mkoa wa Kigoma wa Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania-TIC Alhaji Nasibu Rajabu akitoa nasaha kuhusu umoja na mshikamano baina ya waislamu wote nchini, jana katika siku ya kumbukumbu ya Kifo cha Imamu Khomein, iliyofanyika katika ukumbi wa Makondeko, Ujijji Mkoani Kigoma.
Comments
Post a Comment