Wanaharakati
wa kike,Wanafunzi wa Hauza wa Hauza ya Imam Jafar Swadiq wakiwa pamoja
katika kumrehemu mmoja wa muasisi wa T.I.C Ndg. Dhikir Kiondo, 19 Oktoba, 2014, Tandika Dar es Salaam.
 |
Mwalimu
wa Bilal Muslim Mission of Tanzania (kushoto) akiwa na mjunbe wa kata
ya Tandika, Temeke wakimsomea kisomo cha Qur'an Sheikh Dhikir Kiondo kwa
kumrehemu.
 |
Huyu ndio Sheikh Dhikir Kiondo, mmoja wa Waasisi wa Taasisi ya Tanzania Ithnashary Community (T.I.C)
 |
Sheikh
wa Bilala (kushoto) Tandika Temeke, Dar es salaam, akiwa katka kisomo
cha Muasisi wa Tanzania Ithnashery Community (T.I.C), Nyumbani kwa
Marehemu Dhikir Kiondo.
 |
Masheikh ,Wanafunzi na Majirani wa Marehemu Sheikh Dhikir Kiondo, wakimsomea kisomo cha Qur'an ya kumrehemu. | | | | |
Comments
Post a Comment