SHEIKH NASIBU AITAKA JAMII KUWA NA MAADILI MEMA

 

Sheikh wa Mkoa wa Kigoma wa Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania-TIC Alhaji  Sheikh  Nasib Rajab  akitoa nasaha katik hafla ya ndoa na kuwaasa wanajamii juu ya kuzingatia maadili mema ili kujenga familia iliyo bora, jana wilayani Kasulu Mkoani Kigoma.




Comments